Rais Samia aruhusu wananchi Ileje kuishi hifadhini

Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula amesema Rais Samia Suluhu Hassan ameridhia wananchi wa kitongoji cha Ikanka kijiji cha Itumba wilaya ya Ileje kuendelea kuishi sehemu ya eneo la hifadhi ya msitu wa Ileje Range  mkoani Songwe

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS