"Wakulima msajiliwe ili mtambulike" - Mavunde

Naibu Waziri wa Kilimo, Anthony Mavunde

Naibu Waziri wa Kilimo, Anthony Mavunde ameitaka Bodi ya Kahawa Tanzania kuweka mfumo madhubuti wa ufuatiliaji kwa wakulima wote wanaopewa miche bora ili iweze kuongeza tija na uzalishaji.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS