"Kamati za ufundi zimetuua Yanga" - Foby Picha ya msanii Foby kulia kwenye kipindi cha Kipenga Xtra World Cup Kitaa Msanii wa BongoFleva na shabiki wa Klabu ya Yanga amesema kamati za ufundi ndio zimewaangusha kupata ushindi kwenye mchezo wao wa 'Kariakoo Derby' dhidi ya Simba. Read more about "Kamati za ufundi zimetuua Yanga" - Foby