Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Omary Kipanga
Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mh. Omary Kipanga amesema kuwa kufikia mwezi Disemba mwaka huu 2022 wizara ya elimu itazindua sera mpya ya elimu ili kuleta mabadiliko ya kielimu nchini.