Brazil kuwekeza kiwanda cha dawa nchini.

Balozi wa Tanzania nchini Brazil Adeladus Kilangi.

Serikali imepokea ujumbe wa wakekezaji kutoka nchini Brazil ambao ni wazalishaji wakubwa duniani katika sekta ya dawa kwenye sekta za afya,uvuvi na mifugo ujumbe ambao umewasili nchini ukiletwa na Balozi wa Tanzania nchini Brazil Adeladus Kilangi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS