Wafugaji watakiwa kulima malisho ya mifugo yao

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mifugo anaeshulikia sekta ya mifugo Tixon Nzunda

Serikali imewataka wafugaji wa asili nchini kuanza kulima malisho ya mifugo yao,ambayo yaliathiriwa na mabadiliko ya tabia nchi na kupelekea idadi kubwa ya mifugo kufa kutokana na kukosa malisho ili waweze waondokana na athari hizo kwa siku zijazo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS