Spurs ina sifa za kutwaa ubingwa wa EPL, 2022-23

Lucas Moura (upande wa kulia) huu ni msimu wake wa 6 yupo na kikosi cha Spurs

Winga wa Tottenham Hotspur Lucas Moura amesema msimu huu kikosi chao kina nafasi kubwa zaidi ya kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu England EPL. Na anaamini ubora wa kikosi na kocha Antonio Conte ni miongoni mwa sababu zinazomfanya aamini watakuwa mabingwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS