Tanzania yatekeleza mfumo wa uchumi kidigitali
Tanzania inatekeleza mfumo wa Taifa wa uchumi wa kidijitali, ambao utahakikisha sekta zote za uchumi zinatumia TEHAMA huku ikiwezesha mabadiliko ya kidijitali yanayojenga jamii jumuishi ya kidijitali kwa ajili ya maendeleo endelevu.