Kesi ya Halima Mdee na wenzake yakwama Mahakamani
Kesi iliyofunguliwa na Halima mdee na wenzake 18, ya kupinga kuvuliwa uanachama wao na Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA imeshindwa kuendelea leo kutokana na Mawakili wa washtakiwa namba mbili na namba 3 kutokifika mahakamani.