Wanahabari waongezewa muda kujisajili

Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imeongeza muda wa usajili wa wanahabari kupitia Mfumo wa TAI-Habari hadi tarehe 28 Juni, 2025 ili kuwawezesha waandishi wa habari waliokamilisha usajili lakini bado hawajalipia ada ya Ithibati kufanya hivyo,

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS