Wakulima wataka zao la kahawa kupewa kipaumbele

Wakulima wa zao la Kahawa wilayani Kalambo Mkoani Rukwa wameiomba serikali kuwekeza katika kilimo cha zao hilo ili kuwawezesha kuondokana na kilimo cha mazoea na kufanya zao hilo kuwa kubwa na la biashara 

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS