Idadi ya washtakiwa wa mauaji Loliondo yaongezeka

Idadi ya washtakiwa katika kesi namba 11 ya  2022 dhidi Jamhuri wanaodaiwa  kufanya njama ya mauaji ya askari polisi katika pori tengefu  la loliondo  wilayani Ngorongoro imeongezeka  kutoka washtakiwa  25 na kufikia washtakiwa 27

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS