Fundisheni wanafunzi uzalendo - Kipanga

Naibu Waziri wa  Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia Omari Kipanga amewataka  walimu waliopatiwa mafunzo na chama cha Scouts Tanzania kwenda  kuyatumia mafunzo waliyoyapata kufundishia nyimbo za kizalendo  ikiwemo wimbo wa Taifa na wa Afrika mashariki

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS