Benki ya CRDB kutoa mafunzo ya biashara mtandaoni 

Mkuu Wa kitengo cha Masoko kutoka CRDB, Joseline Kamuhanda

Benki ya CRDB inatarajia kutoa mafunzo ya biashara mtandaoni kwa wafanyabiashara na wajasiriamali ambao wanafanya na wanaotaka kuanzisha biashara mtandaoni ambapo mafunzo hayo yatatolewa kupitia kampeni mpya iliyoanzishwa na benki hiyo ijulikanayo kama CRDB Instaprenyua.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS