Mfaume kuwania mkanda wa WBF Afrika kesho

Mfaume Mfaume anapanda ulingoni kwa mara ya kwanza baada ya miaka 2

Bondia mtanzania Mfaume Mfaume atapanda ulingoni kesho kwa mara ya kwanza baada ya miaka miwili kuwania ubingwa wa WBF Afrika uzito wa Welterwight dhidi ya Bondia kutoka Misri Abdulmonem Said. Pambano litakalofanyika ukumbi wa Diamond Jubilee Dar es salaam kuanzia majira ya Saa 12 jioni.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS