Bei ya mafuta Tanzania yapaa

Kituo cha mafuta

Bei ya mafuta kuanzia kesho Agosti 3, 2022, kwa mkoa wa Dar es Salaam, Petroli itauzwa shilingi 3,410, Dizeli 3,322 na mafuta ya taa yatauzwa kwa shilingi 3,765, Tanga Petroli itauzwa 3,435 na Dizeli itauzwa 3,349.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS