Bodaboda waliopora wanusurika kuchomwa moto

Hassan na Michael, walionusurika kuchomwa

Vijana wawili waliokuwa na bodaboda wamenusurika kuchomwa moto na wananchi wenye hasira kali, maeneo ya Mikocheni jijini Dar es Salaam, hii leo Julai 7, 2022, baada ya kupora pochi ya mwanamke na kukimbia na baadaye walizingirwa na kuanguka chini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS