Aliyemchezeshea uume mtoto,afungwa miaka 20
Mahakama ya Wilaya ya Masasi Mkoani Mtwara imemuhukumu kifungo cha miaka 20 jela Mussa Hassan Ntakula (70), Mkazi wa Kijiji cha Ngalinje baada ya kupatikana na hatia ya kosa la udhalilishaji wa kingono ambapo hukumu hiyo imetolewa mbele ya Hakimu Mfawadhi wa Mahakama ya Wilaya ya Masasi,