Content creator kulipa elfu 50 tu ada ya usajili
Serikali imetangaza kupunguza gharama za leseni na ada za maombi kwa wabunifu, watayarishaji wa maudhui na kwa Vijana wanaotumia majukwaa ya Mitandao ya Kijamii nchini Tanzania lengo likiwa ni kuwapunguzia gharama za uendeshaji, kuchochea ajira na kukuza mchango wa uchumi wa Kidijitali kat

