Wachezaji wa timu za Serengeti boys na Amajambos wakipeana mikono kabla ya mchezo wao wa juzi.
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.