Wachezaji wa timu za Serengeti boys na Amajambos wakipeana mikono kabla ya mchezo wao wa juzi.
Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Tandari iliyopo Mkoani Morogoro Seleman Shemsanga
Mmoja wa Viongozi wa MVIWATA Akizungumza katika moja ya Makongamo ya Wanachama wa vikundi vya Wakulima wadogowadogo.
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa.