Aliyewahi kuwa mbunge wa Busega Raphael Chegeni akisalimiana na aliyewahi kuwa waziri mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mhe. Edward Lowassa.
Bob Junior
Bondia Mfaume Mfaume kulia wa mabibo Nakozi gym Dar es Salaam akipambana na Cosmas Cheka wa Morogoro.
Wachezaji wa Tanzania Mbwana Samata na Thomas Ulimwengu wanaokipiga na timu ya TP Mazembe ya DR. Congo.
Wachezaji wa Twiga Stars wakiwa katika mazoezi.