Baadhi ya wachezaji wakichuana katika moja ya mashindano ya vilabu.
Timu za Dar es salaaam zikichuana katika ligi ya Dar es salaam hivi karibuni
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akitembelea Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Morogoro Jana
Irene Uwoya - Msanii wa filamu
Nahodha wa Mchenga BBall Stars, Mohammed Yusuph 'Muddy' (kushoto) akiwa na mchezaji bora Rwahabura Munyangi