Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Mizengo Peter Pinda akifafanua jambo.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa ziarani wilayani Ngorongoro alipokwenda kufanya mkutano na watu wa jamii za wamasai na wasonjo Septemba, 2013