Moja ya matangazo ya waganga wa kienyeji yaliyosambaa katika mitaa ya jiji la Dar es Salaam.
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.