Rais wa TFF akiwa na baadhi ya makocha waliohitimu kozi ya ukocha wa CAF Leseni B.
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.