Watuhumiwa wakiwa mahakamani
Baadhi ya wananchi waliokuwepo mahakamani wakitaka kuwashushia kipigo watuhumiwa kabla ya kuokolewa na askari kwa kupakiwa kwenye gari ndogo inayoonekana pichani
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.