Mkurugenzi wa Huduma za Kibenki wa BoT Bw. Emmanuel Boaz (kulia) akionyesha sarafu mpya ya shilingi mia tano ambayo itaanza kutumika Oktoba Mosi mwaka huu.
Katibu Mkuu wa Yanga Beno Njovu (kulia) akiongea na waandishi wa habari makao makuu ya klabu ya Yanga
Frank Domayo akisaini mkataba na klabu ya Azam