Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Uchumi nchini Tanzania (kulia) Dkt Servacius Likwelile akiwa na mwakilishi wa Umoja wa Ulaya nchini Balozi Filberto Sebregondi.
Wauguzi wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili wakimpokea Dada Neema Mwita Wambura (32) na kuanza mara moja kumfanyia tena uchunguzi wa afya yake katika majeraha aliyoyapata mara baada ya kumwagiwa uji wa moto uliokuwa ukichemka jikoni kitendo kilichofanywa na mume wake.