Edward Lowassa akiwa na viongozi wa UKAWA wakati kutangaza kuhamia chama hiko jana katika Hoteli ya Bahari Beach.
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.