Dkt.Mohammed Gharib Bilal akiongoza waombolezaji kuaga mwili wa Marehemu Dkt. Abdallah Kigoda jijini DSM
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.