Viongozi wa Chuo cha Sayansi na Teknolojia cha Nelson Mandela wakiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa Chuo Kikuu cha East China Normal University.
Timu zilizoshiriki hatua ya mchujo ambapo Dream Chaser waliovalia jezi nyeusi wakipambana na Temeke Heroes (nyeupe)
Kikosi cha timu ya soka ya Serengeti Boys.