Kocha Boniface Mkwasa akitoa maelekezo kwa wachezaji wa Taifa Stars.

13 Mei . 2016

Kikosi cha stars kikifanya mazoezi nchini Chad kabla ya mchezo wa kwanza dhidi ya wenyeji wao hao.

28 Mar . 2016

Nahodha wa taifa stars Mbwana Samatta akitoka ndani baada ya taifa stars kuwasili kutoka Chad.

25 Mar . 2016

Nahodha wa stars Mbwana Ally Samata akiambaambaa na mpira jana wakati akiiongoza timu hiyo kwa mara ya kwanza dhidi ya Chad.

24 Mar . 2016

Stars waliotangulia wakijifua wakiwa na nahodha mpya wa timu hiyo Mbwana Samata kushoto.

22 Mar . 2016