Wachezaji wa timu ya Chile wakishangilia wakiwa na kombe lao la ubingwa wa michuano maalumu ya Copa America.
Sebastian Perez wa Colombia (kulia) akipasua katikati ya wachezaji wa Marekani.
Golikipa wa Singida FG amefungiwa michezo 3 na faini ya shilingi milioni 1 kwa kosa la kuwafanyia vurugu Coastal Union
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli.