Mkurugenzi msaidizi Taasisi ya soko la ajira Ofisi ya Waziri mkuu kazi, Vijana, Ajira na wenye ulemavu Ahmed Makbel
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.