Kikosi cha mabingwa wa ligi kuu Tanzania bara timu ya Yanga.
Rais wa Shirikisho la Soka nchini Tanzania TFF Jamal Malinzi.
Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Tandari iliyopo Mkoani Morogoro Seleman Shemsanga
Mmoja wa Viongozi wa MVIWATA Akizungumza katika moja ya Makongamo ya Wanachama wa vikundi vya Wakulima wadogowadogo.
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa.
Kushoto ni Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Pius Msekwa, na kulia ni baadhi ya wabunge 19 waliofukuzwa uanachama wa CHADEMA.