Huu ni mnara wa kuongozea ndege katika kiwanja hicho cha Songwe katika Mkoa Mpya wa Songwe,
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa ziarani wilayani Ngorongoro alipokwenda kufanya mkutano na watu wa jamii za wamasai na wasonjo Septemba, 2013