Waziri wa Ujenzi , Mawasiliano na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa (wa pili kushoto), akikagua ujenzi wa Daraja la Kigamboni jijini Dar es Salaam.
Sadio Mane alijiunga na Liverpool mwaka 2016 akitokea Southampton
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli.