Muuza machungwa akisubiri wateja sokoni baada ya kushusha kwenye gari kutoka mikoa inayozalisha bidhaa hiyo.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa ziarani wilayani Ngorongoro alipokwenda kufanya mkutano na watu wa jamii za wamasai na wasonjo Septemba, 2013