Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akimshukuru Mjumbe Maalum wa Rais wa Jamhuri ya Guinea Bissau mara baada ya kupokea barua yenye Salamu na pongezi.
Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza nchini, Phaustine Martin Kasike.