Mkurugenzi wa Sensa na Takwimu za Kijamii kutoka ofisi ya taifa ya takwimu Bw. Ephraim Kwesigabo.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Jakaya Mrisho Kikwete.
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.