Mshambuliaji anayeongoza kwa ufungaji katika ligi kuu bara kwa sasa Hamis Kiiza wa Simba SC.
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.