Mkurugenzi mtendaji wa taasisi ya utafiti wa masuala ya kiuchumi na kijamii - ESRF Dkt. Hoseana Bohela Lunogelo (kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Jakaya Mrisho Kikwete.
Mgombea Urais kuptia Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, chini ya Mwamvuli wa UKAWA Mh. Edward Lowassa akizungumza na Mwenyekiti wa chama hicho Mh. Freeman Mbowe