Baadhi ya wachezaji wa timu ya taifa ya ngumi wakifanya mazoezi.
Viongozi wa kamati ya ufundi ya Mbeya City wakionyeshana baadhi ya vijana waliokuja kusaka nafasi katika timu hiyo.
Kikosi cha Serenget Boys
Golikipa wa Singida FG amefungiwa michezo 3 na faini ya shilingi milioni 1 kwa kosa la kuwafanyia vurugu Coastal Union
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli.