Mwanasheria na mwanaharakati maarufu wa haki za binadamu kutoka Kenya Profesa PLO Lumumba.
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.