Mwanasiasa mkongwe na aliyewahi kuwa mbunge wa Busega Dkt Raphael Chegeni (kulia) akisalimiana na aliyewahi kuwa waziri mkuu Edward Lowassa.
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.