Nahodha msaidizi wa timu ya Tanzania ya watoto wa mitaani Frank Wiliam akimkabidhi kombe Waziri Mkuu Mizengo Pinda timu hiyo ilipotembelea Bungeni leo (April 11 2014)
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa ziarani wilayani Ngorongoro alipokwenda kufanya mkutano na watu wa jamii za wamasai na wasonjo Septemba, 2013