Wananchi wakiwa kwenye foleni ya kuelekea kupiga kura katika chaguzi wa Serikali za Mitaa.
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.