Mkuu wa Wilaya ya Kongwa Alfred Msovella akimuongoza aliekua Mkuu wa Mkoa Dodoma Dr. Rehema Nchimbi wakati akikagua ujenzi wa ndani wa nyumba za shirika la nyumba .
Wauguzi wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili wakimpokea Dada Neema Mwita Wambura (32) na kuanza mara moja kumfanyia tena uchunguzi wa afya yake katika majeraha aliyoyapata mara baada ya kumwagiwa uji wa moto uliokuwa ukichemka jikoni kitendo kilichofanywa na mume wake.