Rais wa Tanzania Dkt Jakaya Mrisho Kikwete, akimtunuku nishani ya muungano, rais mstaafu Benjamin William Mkapa
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.