Meya wa Manispaa ya Kinondoni Yusuph Mwenda (kulia) akipokea tuzo ya meya aliyapata mafanikio kwa mujibu wa Jumuiya ya Serikali za Mitaa - ALAT, kutoka kwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu - TAMISEMI Bi. Hawa Ghasia.
Mmoja wa Viongozi wa MVIWATA Akizungumza katika moja ya Makongamo ya Wanachama wa vikundi vya Wakulima wadogowadogo.
Murtaza Mangungu - Mwenyekiti wa Klabu ya Simba
Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Tandari iliyopo Mkoani Morogoro Seleman Shemsanga
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa.