Waziri wa Kazi na Ajira ambae pia alikua anagombania kupitishwa kugombea Jimbo la Tarime Mjini Gaudensia Kabaka akizungumza katika moja ya mikutano na Umoja wa Madereva
Katibu Mkuu wa Yanga Beno Njovu (kulia) akiongea na waandishi wa habari makao makuu ya klabu ya Yanga
Frank Domayo akisaini mkataba na klabu ya Azam